Ticker

Welcome

22 Job Vacancies at Tanzania Electrical,Mechanical and Electronics Services Agency (TEMESA) - Fundi Sanifu Daraja la II (Mitambo - Automobile)

 


FUNDI SANIFU DARAJA LA II (MITAMBO - AUTOMOBILE) - 22 POST

POSTFUNDI SANIFU DARAJA LA II (MITAMBO - AUTOMOBILE) - 22 POST
POST CATEGORY(S)ENGINEERING AND CONSTRUCTION
EMPLOYERTanzania Electrical,Mechanical and Electronics Services Agency (TEMESA)
APPLICATION TIMELINE: 2021-06-17 2021-07-01
JOB SUMMARYNA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES

i.    Kufanya matengenezo madogo na makubwa ya magari na mitambo;
ii.    Kuhakikisha usalama kwa watumishi na mali wakati wote wa utendaji kazi;
iii.    Kuhifadhi na Kutunza vifaa anavyofanyia kazi;
iv.    Kuhakikisha vifaa vya karakana na mazingira yake ni safi wakati wote;
v.    Kufanya uchunguzi, kubaini, kuandaa gharama na kurekebisha matatizo ya magari na
vi.    Kufanya kazi atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE

•    Awe na elimu ya kidato cha sita na kuhitimu kozi ya ufundi ya miaka miwili katika fani ya Ufundi Magari/Mitambo kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali, au
•    Awe na elimu ya kidato cha nne na kufuzu kozi ya miaka mitatu katika fani ya Ufundi Magari/Mitambo kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali, au
•    Awe na elimu ya kidato cha nne na Cheti cha Majaribio ya Ufundi Stadi Hatua ya I (Trade Test I) fani ya ufundi Magari/Mitambo kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali;
•    Awe na uzoefu usiopungua miaka mitatu (3) wa kufanya matengenezo ya magari madogo na makubwa /mitambo kwenye karakana /gereji iliyosajiliwa;
•    Awe mchapakazi, anayejiamini na mwenye uwezo wa kufanya kazi bila kusimamiwa;
•    Mwenye uzoefu kwenye matengenezo ya magari /mitambo ya kisasa atapewa kipaumbele; na
•    Uwezo wa kutumia “Auto Diagnostic Machine”.

REMUNERATION TGS C

CLICK HERE TO APPLY NOW

 

 Click Here to Join us on Telegram for Instant Job Updates.