Ticker

Welcome

Tangazo la Nafasi 4 za Kazi / Ajira za Kudumu - Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

 


TANGAZO  LA  NAFASI  ZA KAZI. Mkurugenzi   Mtendaji   wa    Halmashauri   ya   Wilaya    ya   Kilwa   anayo   furaha kutangaza nafasi 04 za ajira ya kudumu  kwa watanzania wote  wenye sifa stahiki ikiwemo  Katibu Mahsusl Daraja la IlI. Mtendaji wa Vljiji Daraja  IlI na Dereva  Daraja II. Nafasi za  ajira  hizi zinatokana na  Kibali cha  ajira  mbadala kutoka  kwa  Katibu Mkuu  Ofisi  ya  Rais,  Menejimenti  ya  Utumishi wa  Umma  na  Utawala  bora  kwa barua  Kumb  Namba  FA.170/372/01'A'/91  ya tarehe  26 Novemba,  2021.

TANGAZO  LA  NAFASI  ZA KAZI.
Mkurugenzi   Mtendaji   wa    Halmashauri   ya   Wilaya    ya   Kilwa   anayo   furaha kutangaza nafasi 04 za ajira ya kudumu  kwa watanzania wote  wenye sifa stahiki ikiwemo  Katibu Mahsusl Daraja la IlI. Mtendaji wa Vljiji Daraja  IlI na Dereva  Daraja II. Nafasi za  ajira  hizi zinatokana na  Kibali cha  ajira  mbadala kutoka  kwa  Katibu Mkuu  Ofisi  ya  Rais,  Menejimenti  ya  Utumishi wa  Umma  na  Utawala  bora  kwa barua  Kumb  Namba  FA.170/372/01'A'/91  ya tarehe  26 Novemba,  2021.

1.    MTENDAJI  WA KIJIJI III-  Nafasi   02

1.1 Kazi  Na Majukumu.
•    Kuratibu   na   kusimamia   upangaji   na   utekelezajj   wa   mipango  ya Maendeleo ya Kijiji.
•    Kusimamia  ulinzi  na usalama wa  raia  na mali zao.
•    Kukusanya  mapato ya Halamshauri ya Kijiji.
•    Kusimamia.  kukusanya  na kuhifadhi  kumbukumbu zote  na nyaraka za kijiji.
•    Katibu wa  mikutano na kamati zote  za Halmashauri  ya kijiji.
•    Kusimamia  utungaji wa  sheria  ndogo  za kijiji.
•    Afisa  masuhuli  na Mtendaji  Mkuu na Serikali ya kijiji.
•     Kupokea   na   kusikiliza   na   kutatua   malalamiko   na   migogoro  ya wananchi  na
•    Kazi  nyingine atazopongiwa  na mwajiri.

1.2.  Sifa  Za Mwombaji
•    Awe  amehitimu elimu  ya  kidato cha  nne  au  sita  pia  awe  anehitimu mafunzo   ya   cheti/Astashahada   katika    moja   ya   fani,   zituatazo:• Utawala, Sheria,  Elimu ya Jamii, Usimamizi wa  fedha, Maendeleo ya Jamii  na  Sayansi  ya  Sanaa  kutoka   katika  chuo   chochote kinachotambuliwa  na Serikali.

1.3 Ngazi ya  Mshahara  ni TGS  B.

2.   KATIBU MAHSUSIHII- Nafasi 01

2.1      Kazi Na Majukumu
•   kuchapa barua, taarifa za kawaida.
•   Kusaidia  kupokea  wageni  na  kuwasaili  shida  zao  na  kuwaelekezo sehemu wanapoweza kushughulikiwa.
•   Kusaidia kutunza  taarifa/kumbukumbu za  matukio,  miadi,  torehe zo vikao. safari za Mkuu wake  na ratiba  ya kazi nyingine zilizopangwa kutekelezwa  katika  ofisi  anayofanyia kazi  na  kumuarifu  Mkuu  wake kwa wakati unaohitajika.
•    Kusaidia kufanya  na kumpalia Mkuu wake  majalada nyaraka  au kitu chochote katika shughuli za kazi hapo ofisini.
•   Kusaidia  kufikisha  maelekezo  ya Mkuu wake  wa  kazi  kwa wasaidizi wake na pia kuwaarifu kuhusu laarifa zozole anazokuwa anapewa na wasaidizi hao.
•    Kusaidia  kupokea   majalada,  kuyagawa  kwa  maofisa  walio  katika sehemu alipo na kuyakusanya, kuyatunza na kuyarudisha sehemu zinazohusika na
•   Kazi nyingine atazopangiwa na mwajiri.

2.2      Sila  Za Mwombaji
•    Awe  amehitimu kidato cha IV/VI
•    Awe  amehudhuria  mafunzo ya uhaziri  na kufaulu  mtihani  wa  hatua ya tatu.
•    Awe amefaulu somo la Hati Mkato ya kiswahili na Kiingereza maneno 80  wa dakika moja.
•  Awe amepata mafunzo ya Kompyuta kutoka chuo chochote inachotambuliwa na Serikali na kupata cheti katika program za Windows, Microsoft Office, Internet,  E-mail na Publisher.


Ngazi ya Mshahara ni TGS  B.

3.   DEREVA DARAJA II - Nafasi 01

3.1      Kazi Na Majukumu
•   Kuendesha Magari ya abiria, na malori,
•   uhakiki gari na vyombo  vyake vipo katika hali nzuri wakali wote,
•   Kufanya  uchunguzi  wa  gari  kabla  na  baado ya safari  iii  kugunduo ubovu unaohitaji matengenezo.
•   Kufanya matengenezo madogo madogo katika gari,
•   utunza na kuandika  daftari la safari "log-book" kwa 0 safari zote.
•   Kazi nyingine atazopangiwa na mwajiri.

3.2      Sifa  Za Muombaji

•   Awe amehitimu kidato  cha  IV/VI
•   Awe wenye  Leseni daraja  "C"  ya uendeshaji pamoja na uzoefu wa kuendesha magari kwa muda usiopungua miaka mitatu bilo kusababisha ajali
•   Awe  na cheti cha Majaribio  ya Ufundi Daraja la II
•   Awe  na Cheti kinachotambulika Serikalini

Ngazi ya Mshahara ni TGS B.



3.0     MASHARTI YA JUMLA
i)       Waombaji wote  wawe  ni Raia wa Tanzania.
ii)     Waombaji wote  wawe  na umri kati ya miaka  18-45
iii)    Waombaji wote  waambatanishe cheti cha  kuzaliwa.
iv)   Waombaji  waambatanishe  maelezo  binafsi  (CV)  yenye  anuani  na namba za simu za kuaminika na majina mawili ya wadhamini.
v)    Maombi yaambatishwe na picha moja (Passport size ya hivi karibuni no iandikwe jina kwa nyuma).
vi)   Maombi yaambatanishwe no nakala  za vyeti vya  taaluma/Shule na vyeti vya kuhitimu mafunzo ya vyuo.
vii)  Waombaji wote  waambatishe  na  nakala  ya  kitambulisho cha  Taifa (NIDA)   -   kwa  ambao  hawana    vitambulisho   hivyo,   namba    NIDA ziandikwe kwenye maelezo  (CV)
viii) Maombi  yote   yatumwe  kwa  njia  ya  posta  kwa  kutumia   anuani ifuatayo;•


Mkurugenzi Mtendaji,
Halamshauri ya Wilaya,
S.L.P.  160,
KILWA.


Mwisho wa kupokea  barua za maombi torehe  13/01/2022 saa 9: 30 Alasiri


NB: Maombi ambayo  yatawasilishwa kwa njia ya mkono hayatashughulikiwa.

Pakua Hapa Tangazo hili Rasmi Kutoka Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

 
Also See: Other Government Jobs Here