NAFASI ZA KAZI | FURSA ZA AJIRA
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KUJITOLEA.
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mbeya inatangaza nafasi 45 za ajira ya kujitolea katika Kada mbalimbali kama ifuatavyo;
1. Afisa Ugavi Daraja la II (supplies Officer II)- Nafasi 1
Awe wenye Shahada/Stashahada ya juu ya ununuzi/Ugavi kutoka katika chuo kinachotambuliwa na Serikali. Au wenye "Professional level Ill" inayotolewa na Bodi ya wataalamu wa Ununuzi na Ugavi nchini (Procurement and Supplies Professionals and Technicians Board -(PSPTB) au sifa nyingine inayolingana na hiyo inayotambuliwa na PSPTB, na kusajiliwa na PSPTB kama "Gradute Procurement and Supplies Professional"
2. Mfamasia Daraja la II (Pharmacist II) - Nafasi 02
Sifa wenye Shahada ya Famasi kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali aliyehitimu mafunzo ya vitendo kazini (Internship) ya mwaka mmoja ambao wamesajiliwa na Baraza la Famasi Tanzania.
Recommended for you: Get the Latest & New Job Updates Here     
3.   Mteknolojia Madawa Daraja II - Nafasi  1
Awe mwenye Stashahada katika fani ya uteknolojia Madawa ya muda wa miaka mitatu  kutoka  chuo  kinachotambuliwa  na  Serikali  na  ambao  wamesajiliwa   na Baraza la Famasi Tanzania.
4.Fundi  Sanifu Vifaa  tiba (Bio Medical technician) - Nafasi  1
Awe  mwenye  Stashahada  katika fani ya  Fundi Sanifu  Vifaa  Tiba  (Bio  Medical Technician)   ya  muda  wa  miaka  mitatu  kutoka   Chuo   kinachotambuliwa   na Serikali.
5.   Watunza Kumbukumbu Wasaidizi Afya Daraja la  II - Nafasi  6
Awe na Astashahada/Stashahada  ya utunzaji wa kumbukumbu  katika masuala ya Afya (Medical  Records) Kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
6.   Dereva Daraja la  II - Nafasi 02
Awe wenye elimu ya kidato cha nne (IV)  leseni  class E1, D1, C1  awe na uzoefu wa kuendesha magari  kwa muda wa mwaka mmoja  (1) bila kusababisha  a)a!' Awe  amehudhuria  mafunzo  ya  msingi  wa  kuendesha  magari  (Basic  Driving Course)  yanayotolewa na chuo cha mafunzo  ya Ufundi  stadi  (VETA)  au  Chuo
kinachotarnbuliwa na Serikali.
7.   Daktari Daraja la  II (Medical Doctors II)- Nafasi 10
Sifa  wenye  Shahada  ya  Udaktari  kutoka  vyuo  vikuu  vinavyotambuliwa    na Serikali,  waliomaliza mafunzo ya utarajali  "internship" ya rnuda usiopungua miezi kumi na mbili na kupata usajili katika Baraza la  Madaktari Tanganyika  (Medical Council of Tanganyika).
8.   Afisa Muuguzi  II - Nafasi 7
Sifa  wenye Shahada (Degree)  ya  Uuguzi,   Kutoka chuo  kinachotambuliwa  na Serikali, awe na leseni ya Uuguzi kutoka Salaza la  Uuguzi na Ukunga Tanzania.
9.   Afisa Muuguzi Msaidizi II - Nafasi 02
Sifa  wenye Stashada (Diploma)  kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali awe na leseni ya Uuguzi kutoka Salaza la  Uuguzi na Ukunga Tanzania.
Mwenye sifa  za  ziada  ikiwemo  mafunzo ya  cheti   katika  fani  ya  usingizi
(Anaesthetist) atafikiriwa zaidi.
Recommended for you: Get the Latest & New Job Updates Here     
10.Muuguzi Daraja II - 04
Sifa  wenye  Astashada  (Cheti)  ya  Uuguzi   kutoka  chuo  kinachotambuliwa   na Serikali awe na leseni ya Uuguzi kutoka Salaza la Uuguzi na Ukunga Tanzania.
11. Msaidizi wa Afya Maabara (Lab. Attendant) -- Nafasi 01
Sifa mwenye Astashada (Cheti)  ya Usaidizi  Afya Maabara ya muda usiopungua mwaka mmoja (1) kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.
12.Mhudumu wa Afya Chumba cha Maiti (Mortuary Attendant) -- Nafasi 01
Awe mhitimu wa kidato cha nne aliyepata mafunzo  ya mwaka mmoja (1) katika fani ya Afya (Chumba cha Maiti)
13. Msaidizi wa Afya (Medical Attendant) -- Nafasi 02
Awe mhitimu wa kidato cha nne aliyepata mafunzo  ya mwaka  mmoja  (1) katika fani ya  Afya kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.
14.Afisa  Hesabu II (Accounts Officer) - Nafasi 01
Sita awe na Shahada ya Sanaa/Biashara aliyejiimarisha kwenye fani ya Uhasibu au  Stashahada  ya  juu  ya  uhasibu  katika  Taasisi  yoyote  inayotambuliwa  na Serikali.
15.Afisa  Hesabu Msaidizi- Nafasi 01
Sita  awe  na  Stashahada  ya  Sanaa/Biashara  aliyejiimarisha  kwenye  fani  ya Uhasibu au Stashahada ya juu ya Uhasibu katika Taasisi yoyote inayotambuliwa na Serikali.
16.Afisa  uhusiano Daraja II
Awe mwenye Shahada katika fani ya Sanaa ya Sayansi au aliyefuzu  mafunzo ya awali ya Uandishi wa Habari (Mass Communication).
17.  Katibu Muhtasi Daraja 11- Nafasi 01
Awe mwenye Elimu ya kidato cha Nne na mafunzo ya muda usiopungua mwaka mmoja  katika  fani  ya  "Secretarial  Course"  kutoka  chuo  au  Taasisi inayotambuliwa na Serikali.
18.Mtunza  Kumbukumbu Msaidizi Daraja la  II - Nafasi  01
Awe   na  Astashahada/Stashahada   ya   utunzaji  wa   kumbukumbu   (Records Management) Kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
Mambo Muhimu  ya Kuzingatia  Kwa Mwombaji.
a)  Mwombaji awe Raia wa Tanzania na wenye umri usiozidi miaka 45 
b)  Awe na cheti cha ufaulu cha kidato cha Nne (IV) au cha Sita (VI)
c)   Awe na Cheti cha taaluma husika
d)  Awe na cheti cha kuzaliwa (Birth Certificate).
                ·
e)  Ambatanishe wasifu  wake (CV)  yenye anuani  na namba  za Simu  za  kuaminika pamoja na wadhamini (Referee) watatu wa kuaminika.
f)   Awe na picha mbili (2) "passport Size" alizopiga hivi karibuni.
 g)  Awe na Nakala ya kitambulisho cha Utaifa (NIDA).
h)  Waombaji  waliosoma nje  ya Tanzania wahakikishe vyeti  vyao  vimehakikiwa   na kuidhinishwa na mamlaka husika (NACTE na NECTA).
i)     Barua za uthibitisho/Matokeo ya mtihani  (Testimonial/Provisional/ Statements of results) Havitapokelewa.
j)   Uwasilishaji na taarifa  na  sifa za  kugushi  wahusika  watachukuliwa   hatua  za Kisheria.
Malipo ya mshahara wa mwezi yatalipwa nusu mshahara  kwa kuzingatia  ngazi ya mshahara kwa kila kada husika (TGHS E,  D,  B, TGS B na D) na mikataba  itakuwa kwa kipindi vya miezi kumi na mbili (12) kama muongozo  unavyoelekeza.
Barua zote za maombi haya zitumwe/ziwasilishe kwa anuani ya;  •
Mganga Mfawidhi,
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa,
5.L.P 259, MBEYA.
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 17 Februari, 2022 saa 9:30 Alasiri.
Recommended for you: Get the Latest & New Job Updates Here
Also See : Other Health Sector Jobs Here
Also View: Other Jobs in Mbeya Region 
 
