Ticker

Welcome

Tangazo la Kuitwa Kwenye Mtihani wa Usaili wa Maandishi (Apptitude Test) - Kutoka TAKUKURU / PCCB

 

Taasisi ya Kuzuia na Kupamabana na Rushwa (TAKUKURU) ni taasisi ya Umma iliyoanzishwa chini ya Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Namba 11 ya Mwaka 2007. Sheria hii ilitungwa baada ya kufutwa kwa Sheria ya Kuzuia Rushwa (TAKURU) Sura ya 329 iliyofanyiwa marrejeo mwaka 2002. Kuanzishwa kwa chombo hiki kulikuja baada ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitisha Mswaada wa Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa wa mwaka 2007 mnamo tarehe 16 Aprili, 2007. Mswaada huu ulisainiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Kikwete kuwa Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa mnamo tarehe 11Juni, 2007 na ilianza kufanya kazi tarehe 1Julai, 2007.


Taasisi ya Kuzuia na Kupamabana na Rushwa (TAKUKURU) ni taasisi ya Umma iliyoanzishwa chini ya Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Namba 11 ya Mwaka 2007. Sheria hii ilitungwa baada ya kufutwa kwa Sheria ya Kuzuia Rushwa (TAKURU) Sura ya 329 iliyofanyiwa marrejeo mwaka 2002. Kuanzishwa kwa chombo hiki kulikuja baada ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitisha Mswaada wa Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa wa mwaka 2007 mnamo tarehe 16 Aprili, 2007. Mswaada huu ulisainiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Kikwete kuwa Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa mnamo tarehe 11Juni, 2007 na ilianza kufanya kazi tarehe 1Julai, 2007.



TANGAZO  LA MTIHANI WA USAILI


Mkurugenzi  Mkuu  wa Taasisi  ya  Kuzuia  na  Kupambana na  Rushwa (TAKUKURU) anapenda  kuwatangazia watu wote walioomba nafasi ya ajira ndani ya  Taasisi ya  kuzuia  na  Kupambana na  Rushwa kwamba  mtihani  wa usaili  wa maandishi  (apptitude test) utafanyika Jijini Dodoma siku ya tarehe 8.1.2022.

Mambo Muhimu ya Kuzingatia

1.  Tarehe ya usaili ni tarehe 8.1.2022 siku ya Jumamosi;
2.   Kwa waombaji  ambao  wameomba  kazi ya  Afisa  Uchunguzi  mtihani  wao utaanza  saa 2:30 asubuhi siku hiyo tarehe 8.1.2022;
3.   Kwa  waombaji  ambao  wameomba  nafasi  ya  Uchunguzi  Msaidizi  mtihani wao utaanza  saa 6:00 mchana  siku hiyo ya tarehe 8.1.2022;
4.   Waombaji  walioitwa kwenye usaili huu wahakikishe  wanachukua  tahadhari
zote  za kujikinga  na ugonjwa  wa  UVIKO-19  muda  wote wanaposafiri  na wanapokuwa kwenye chumba cha mtihani;
5.  Majina  ya  waombaji   wote  walioitwa  kwenye  usaili  pamoja   na  eneo  la
kufanyia    mtihani     yanapatikana     kwenye     wavuti     ya    TAKUKURU
wwww.pccb.go.tz;
6. Kila  mwombaji  ajaze  taarifa  zake  binafsi  kwenye  fomu  ambayo imeambatishwa  na orodha ya majina. Fomu pia inapatikana kwenye wavuti ya TAKUKURU   pccb.go.tz:
7.  Fomu ya taarifa binafsi  ijazwe  kwa umakini  na kwa usahihi.  Fomu  hiyo ni
sehemu ya mtihani  wa apptitude test, kwa hiyo mtu  atakayejaza vibaya Fomu hiyo atakuwa ameipoteza nafasi ya kufaulu kwenye usaili huu;
8.   Fomu  hivo iwasilishwe  siku  ya  mtihani  tarehe  8.1.2022.  Msailiwa  ambaye
hatawwasilisha_Fomu_hio atahesghikakuwanimiongonimwa  walioshindwg kwenve usaili.
9,   Watakaofaulu  kwenye  mtihani   wa  maandishi  ndio  watakaoitwa  kwenye usaili wa mahojiano (oral interview)

Imetolewa na
Mkurugenzi Mkuu,
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, Mtaa  wa Jamhuri,S

S.L.P 1291,
41101 DODOMA.

IMPORTANT INTERVIEW DOCUMENTS FROM PCCB:-

TANGAZO LA USAILI

MPANGILIO WA WASAILIWA KATIKA VITUO

ORODHA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KWA MAAFISA UCHUNGUZI

ORODHA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KWA WACHUNGUZI WASAIDIZI

FOMU YA TAARIFA MUHIMU ZA MWOMBAJI