Tangazo la Fursa Za Ajira / Nafasi za Kazi Tatu - kutoka Halmashauri  ya Wilaya   ya  Mbulu

Tangazo la Fursa Za Ajira / Nafasi za Kazi Tatu - kutoka Halmashauri  ya Wilaya   ya  Mbulu

TANGAZO  LA NAFASI ZA KAZI

Mkurugenzi  Mtendaji  wa  Halmashauri  ya Wilaya   ya  Mbulu  anakaribisha  maombi  ya kazi  kwa nafasi  zifuatazo:•

1.1  MTENDAJI  WA  KIJIJI  III  - NAFASI  02

1.1.1  SIFA ZA  MWOMBAJI

Kuajiriwa   wenye    Elimu    ya   Kidato    cha   Nne   (IV)   AU   Sita   (VI)   aliyehitimu   mafunzo  ya Astashahada/Cheti  katika  moja ya  fani zifuatazo   Utawala,  Sheria,  Elimu  ya jamii  (Sociology). Usimamizi wa  Fedha,  Maendeleo ya Jamii  na Sayanst ya  Sanaa  kutoka   Chuo  cha  Serikali za Mitaa  Hombolo,  Dodoma au Chuo  chochote kinachotambuliwa na Serikali

Recommended for you: Get New Job Updates Here  

1.1.2  MAJUKUMU YA  KAZI.
•    Afisa  Masuuli  na Mtendaji  Mkuu  wa Serikali  ya Kijiji
•    Kusimamia Ulinzi  na Usalama wa  raia na mali  zao,  kuwa  Mlinzi  wa Amani  na Msimamizi
•    wa Utawala Bora  katika Kijiji
•     Kuratibu na kusimamia  upangaji  wa utekelezaji  wa Mipango  ya Maendeleo ya Kyijt
•     Katibu wa  Mikutano na Kamati  zote  za Halmashauri  ya Kijiji
•     Kutafsiri  na kusimama  utekelezaji  wa Sera,  Sheria.  Kanuni,  Taratibu na Miongozo ya
•    Serikali  katika Kijiji
•     Kuandaa   Taarifa  za  Utekelezaji  wa  kazi   katika  eneo   lake  na  kuhamasisha  wanancht katika
•    kuandaa na kutekeleza mikakati  ya kuondoa njaa,  umaskini  na kuongeza uzalishaji mali,
•     Kiongozi  wa Wakuu wa Vitengo vya  Kitaalam katika Kijijji
•    Kusimamia,  kukusanya na kuhifadhi  kumbukumbu  zote  na Nyaraka za  Kiii
•     Mwenyekiti  wa  Kikao  cha Vataalamu  waliopo katika Kijiji
•     Kupokea,   kusikliza  na  kutatua   matatzo/malalamiko  na  migogoro  ya Wananch  katika Kijiji
•     Kusimamia Utungaji  wa Sheria  Ndogo  za Kijiji,  na
•    Atawajibka  kwa  Mtendaji  wa  Kata

Recommended for you: Get New Job Updates Here   

 
1.1.3  MSHAHARA
Kwa kuzigata  Ngazi  za mshahara ya Serikali  yaami  TGS  E  kwa  mwezi


2.0.  KATIBU   MUHTASI  III --NAF ASI  01



2.1.1  SIFA  ZA  MW OMBAJI


Kuajiriwa wenye  Elimu  ya Kidato cha Nne (IV) AU Srta  (VI)  na waliohudhuria mafunzo ya Uhazili ngazi ya cheti cha  miaka  miwili  (NTA  LEVEL  5) na kufaulu  Mtihani wa  Hatua  ya Tatu.  Wawe wamefaulu soma  la Hatimkato ya Kiswahili  na Kingereza  maneno  80 kwa dakika  moja  na wawe wamepata  mafunzo  ya   Kompyuta  kutoka   chuo   chochote   inachotambuliwa  na  Serikali   na kupata cheti  katika programu za Windows,  Microsoft Office,  Internet,  Email  na Publisher.

2.1.2  MAJUKUMU YA  KAZI.

•    Kuchapa  barua,  taarifa  na nyaraka  za kawaida
•    Kusaidia  kupokea  wageni  na kuwasaili  shrda  zao  na kuwaelekeza sehemu wanapoweza kushughulikiwa
•     Kusaidia  kutunza taarifa/kumbukumbu za matukio,wageni,  tarehe  za vikao.safari  za Mkuu wake  na ratiba  za kaz  nyingine zilizopangwa kutekelezwa  katika  Ofis anamofanyia  kazi.
•     Kusardia  kutafuta  na kumpatia   Mkuu wake  majalada,nyaraka au kitu  chochote kinachohitajika  katika  shughuli  za hapo  Ofisini.
•     Kusardia  kufikisha  maelekezo ya Mkuu wake  wa kazi  kwa wasadizi  wake  na pia kumuarifu kuhusu  taarifa  zozote  anazokuwa amepewa na wasaidizi ha0
•     Kusardia  kupokea  majalada,  kuyagawa kwa maofisa  walio  katika sehemu alrpo  na kuyakusanya,  kuyatunza na kuyarudisha sehemu  zinazohusika
•     Kutekeleza kazi  zozote  atakazokuwa  amepangiwa na msimamizi  wake  wa kazi


2.1.3  MSHAHARA


Kwa kuzingatia  Ngazi  za mishahara ya Serikali  yaani  TGS  B  kwa  mwezi




NB:  MASHARITI  YA JUMLA.

•    Mwombaji  awe  Raia wa Tanzania na awe tayari  kufanya  kazi  sehemu yoyote  kwenye
Halmashauri  ya Wilaya  ya Mbulu
•     Mwombaji  awe  na  umri  usiozidi  miaka  45 na awe  hajawah  kupatikana na kosa  la  jinal au kufungwa jela
•    Waombaji  waambatishe  maelezo binafsi  yanayojitosheleza  (Detailed  C.V)
•     Maombi  yote  yaambatane  na  nakala  za vyeti  vya  taaluma.  vyeti  vya  elimu  (IV au  Vl) cheti  cha  kuzaliwa   na  picha  mbili  za rangi  za hivi  karibuni  (Passport Size)  na 1andikwe jina nyuma
•    Testmonials",   "Provisional   Results",   "Statement   of  results",   hati   matokeo  za
kidato  cha  nne  na sita (FORM  IV AND FORM VI  RESULTS  SLIPS}  HAVITAKUBALIWA.
•    Waombaji   waliosoma   nje   ya   Tanzania   wahakikishe   vyet    vyao   vimehakikiwa   na
kudhinishwa  na Mamlaka husika  (TCU  na NECTA)
•    Waombaji  waliostaafishwa  katika  Utumishi  wa  Umma  hawaruhusiwi  kuomba  isipokuwa kama wanakibali  cha  Katibu Mkuu  Kiongozi
•     Uwasilishaji  wa taarifa  na sifa za kugushi  wahusika watachukuliwa  hatua za kisheria.
•     Mwisho  wa kupokea barua  za maombi  ni tarehe  03/02/2022  Saa  9.30 Alasiri.
•     Maombi  yaandikwe  kwa mkono na mwombaji  mwenyewe  na yatumwe  kupitia  posta kwa anuani  ifuatayo:-


MKURUGENZI  MTENDAJI  (W), HALMASHAURI  YA WILAYA YA  MBULU, S.LP.  74,
MBULU.

Recommended for you: Get New Job Updates Here   

 
 Also See: Other Government Jobs Here

Check Out Other Jobs in Manyara Region Here

The deadline for submitting the application is  3rd February 2022 at 15: 30 EAT/ TZ TIME.