YAH: TANGAZO LA NAFASI YA KAZI
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa kupitia kibali cha ajira mbadala Kumb. Na.FA.170/533/01"8"/65 cha tarehe 26 Novemba 2021, kilichotolewa  na Katibu  Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora inatangaza nafasi wazi moja [1] ya Mtendaji wa kijiji  Daraja la  Ill  na Dereva Daraja la  II.
1.0 MTENDAJI  WA KIJIJI DARAJA LA II - NAFASI  1
1.1. Sifa za Mwombaji:-
•   Wahitimu wa kidato cha nne au sita wenye cheti cha [NTA  Level 5] au
Certificate katika  moja  ya fani zifuatazo.
•    Utawala
•    Usimamizi wa  Rasilimali watu
•    Maendeleo ya Jamii au
•   Sayansi ya Jamii  kutoka  Chuo cha  Serikali za Mitaa  Hombolo,  Dodoma au chuo  chochote kinachotambuliwa  no Serikali
(iii)  Awe  no umri usiozidi  miaka 45 (iv)   Awe  no cheti cha  kuzaliwa.
1.2. MAJUKUMU YA KAZI
(i)        Afisa  Masuuli na Mtendaji Mkuu wa Serikali ya kij,
(ii)       Kusimamia Ulinzi no Usalama wa Raia no Mali zoo, kuwa mlinzi wa Amani no Msimamizi wa  Utawala  bora  katika  kijiji.
(iii)           Kuratibu   na   kusimamia   upangaji   wa   utekelezaji   wa   Mipango  ya
Maendeleo ya Kijiji.
(iv)      Katibu wa  Mikutano no Kamati zote za Halmashauri ya Kijiji. (v)       Kutafasiri na kusimamia Sera, Sheria  no Taratibu.
(vi)      Kuandaa   taarifa   za   Utekelezaji   wa    kazi   katika   eneo    lake   no kuhamasisha wananchi katika kuandaa no kutekeleza mikakati ya kuondoa  njaa,  umaskini no kuongeza  uzalishaji Mali.
(vi)      Kiongozi wa  Wakuu wa vitengo  vya Kitaalam  katika Kijiji.
(viii)     Kusimamia,  kukusanya  na  kuhifadhi  kumbukumbu  zote  no nyaraka  za
Kijiji.
(ix)      Mwenyekiti wa  kikao cha  Wataalamu waliopo  katika Kijiji.
(x)       Kupokea,  kusikiliza na kutatua  malalamiko  na Migogoro  ya Wananchi. (xi)      Kusimamia  utungaji wa Sheria  ndogo  za Kijiji.
(xii)      Atawajibika  kwa  Mtendaji wa  Kata.
(xiii)      Kazi nyingine  utakayopewa no Mkuregenzi Mtendaji wa  Halmashauri.
1.3  NGAZI YA MSHAHARA
Mshahara:  Ngazi ya TGS 8 kwa mwezi.
2.0 DEREVA DARAJA LA II - NAFASI  1
2.1  SIFA ZA MWOMBAJI
(i)  Awe no elimu ya kidato  cha  IV au VI (ii)  Awe no leseni daraja  la  "C"
(iii)  Awe no uzoefu wa  kuendesha  magari kwa  muda  usiopungua  miaka mitatu bila  kusababisha  ajali
(iv)  Awe no umri usiozidi miaka 45
(v)   Awe no cheti cha  Majaribio ya Ufundi  Daraja  la  II (vi)  Awe na cheti cha  kuzaliwa
2.2 MAJUKUMU YA KAZI
(i)  Kukagua  gari kabla  no baada ya safari iii  kubaini hali ya usalma wa gari
(ii)  kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi
(iii)  kufanya  matengenezo madogo madogo ya gari
(iv)  kukusanya  no kusambaza  nyaraka  mbalimbali
(v)  kujaza no kutunza taarifa za safari zote  katika  daftari la  safari
(vi)  kufanya  usafi wa gari
(vii)  kufanya  kazi nyingine  kadri atakavyoelekezwa  na msimamizi wake
2.3.  NGAZI YA MSHAHARA
Mshahara:  Ngazi ya TGS 8 kwa mwezi.
3.0. MASHARTI YA JUMLA
• Awe raia wa Tanzania.
• Awe na umri wa kuanzia miaka 18 hadi 45
• Waombaji waambatanishe na nakala za cheti cha kuzaliwa, vyeti vya kuhitimu mafunzo na vyeti vya kidato cha nne vilivyodhibitishwa na Wakili au Mahakama.
• Muombaji ambatanishe picha mbili [2] ndogo ya rangi [passport size] ya hivi karibuni
• Testimonials, Provisional results, Statement of results na hati za matokeo ya kidatocha nne na sita [form VI and form IV result slip] HAVITAKUBALIWA.
• Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kwa Kibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.
4.0. UTARATIBU WA KUTUMA MAOMBI
Maombi yote yatumwe kwa:•
Mkurugenzi Mtendaji (W), Halmashauri ya wilaya ya Maswa, S.L.P. 170,
MASWA -SIMIYU.
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 18.01.2021 Saa 9.30 alasiri.
NB:
Tangazo hili linapatikana katika Tovuti ya Halmashauri www .maswadc.go.tz Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira www .ajira.go.tz na katika mbao za matangazo za Halmashauri na Mkoa wa Simiyu.
Pakua Hapa Tangazo hili Rasmi Kutoka Tovuti ya Halmshauri ya Wilaya ya Maswa 

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
